Skip to main content

SWALAAH


Kuamka tunaamka saa kumi na mbili
Kulala ni saa kumi ikipungua masaa mawili
Swala kwetu waislamu imekosa wakati na mahali
Jambo la uchungu na huzuni kwa kweli

Allah Rabbana ametuamrisha nguzo ya kuswali
Wenye Elimu wanatuusia kwa nguvu tuswali
Kwa waislamu imekuwa jambo la muhali
Ndio maana kwenye hii dunia tumefeli

Tukikosa biashara tunakuwa wakali
Ndugu kwa ndugu tumezidi ukatili
Je tunataka hii iwe ndio hali??
Kwa nini Waislamu tunachukizwa na kuswali??

Ibada gani itakufaa usiposwali?
Hatukai tukajiuliza haya maswali?
Nani hataki maisha mazuri ya sahali
Mafanikio yatakuja pindi tutakapoanza kuswali

Inawadia mwezi mtukufu Ramadhani
Tunatoka kwa mtukufu Sha'abani
Tumesahau malengo yetu duniani
Tutaacha swala tukimbilie masahani

Hayya 'Alal Falaah
Tunaitwa kwenye kufuzu
Tunaitwa tukamsujudie Allah Mola mtukufu
Tumnyeyekee mwenye biashara zetu
Tuswali kwa anayesuluhisha matatizo yote

TUJIULIZE TENA: TUTAWACHA LINI DHARAU KWA MOLA WETU AL-RAHMAN

Comments

Popular posts from this blog

LOST

Where am I heading? What am I doing? My brain is in constant arguing Heedless of wherever am going It seems am lost Lost in the sea of desire Lost in the darkness of pride Lost in the jungle of life Lost in the circle of greed It seems am lost I did not board the swalaah train Instead I walked for days alone I forgot to ask Allah for directions Instead I believed I was not dumb Now it seems am lost The train station is near I can easily go there Allah can always hear I can call for Him right here But still I want to be lost Why? Because I am chained On a pole of false hope On My pride and my desire They all drown my voice That's the sad story of how am LOST P/S: May Allah guide all of us lost and chained by sins and desires and bring us close to Him on the straight path....

DEATH

It comes to us so silent Strikes fast like a serpent Standing, kneeling or bent Death is imminent  If it's a life you righteously spent Or to the mosque you never went Remember you must repent Death is imminent  We sin with all the intent Thinking Life is permanent To Allah we never pay rent Yet consider salah NOT URGENT Malakul Maut will be sent  It's sure a hundred percent For this life is a temporary tent But  DEATH IS IMMINENT.

THE ABANDONED

We see you and just ignore Something we never adore We just open this life's door Leaving you in a state so low Your great reverence Music stole  You can guide every persons goal To Muslims you make tears roll Just the true believers not All The Quran for those who reflect  A cure to every kind of defect A book Allah will ever protect  His words we always neglect  Carrying with it many a warning  What led to past nation's destroying This nations duty of good enjoining And ultimately the bad forbidding!! A beautiful book we abandon Words of Allah full of reason Suitable to all nations and season Sadly a book we let live alone